Timu Ya madaktari nchini marekani imeeleza juu Ya vyanzo vinavyoweza kusababisha ugonjwa huo hatari wa kansa navyo n
Kunywa chai katika vikombe vya plastic
2 kula kitu KWENYE kitu cha plastic mfano chips
3 kupasha chakula KWENYE microwave ukiwa Na Chombo cha plastic
KUMBUKA CHOMBO CHA PLASTIC IKIKUTANA NA JOTO HUZALISHA AINA 52 ZA KANSA
Jumatano, 11 Aprili 2018
Jumapili, 1 Aprili 2018
STADI ZA MAISHA
Mpenzi msomaji wa blog ya Deodatus media katika msimuu huu wa mwezi wa nne napenda kukukaribisha wewe unaependa HABAR katika blog yangu kuwa inatoa NAFASI kwa wale wanaotaka kutangaziwa biashara yao .kuwa kuna punguzo la bei kwa wale wanaotaka Kufanya biashara zao zijulikane Na kukua kipato chako wasaliana nami kwa get mail account deodatuskilinga5@gmail.com au whatssapp Na nipigie simu no 0743822347
Alhamisi, 22 Machi 2018
SHUHUDIA MAAJABU Ya MTOTO HUYU antony
Habari Kama HII usiache kutufatilia
Jumanne, 20 Machi 2018
TUMBATU,KISIWA KISICHO NA GARI WALA BARABARA
Je unakifahamu kisiwa KISICHO Na GARI WALA barabara Ndo HIKI hapa
TUMBATU ni kisiwa kilichopo Zanzibar mjini pemba nje kidogo ambacho watu wake hawajawahi kuona WALA kupanda GARI toka wadogo hadi uzeeni
Kwa habari nyingi usiache kutufatilia Deodatus media.blogspot.com
Na kukutangazia biashara yako kwa bei nafuuu kwa
0743822347au kilingadeodatus5@gmail.com
Kwa habari nyingi usiache kutufatilia Deodatus media.blogspot.com
Na kukutangazia biashara yako kwa bei nafuuu kwa
0743822347au kilingadeodatus5@gmail.com
- Asant
INASISIMUA,INAFUNDISHA,INAELEKEZA
Habari mpenzi msomaji wa blog Ya Deodatus media napenda kukufundisha Habari hii ili uelimike Na ujue jinsi ya kuishi Na watu wote
Kulikuwa Na familia moja ya mke,mme Na watoto wawili ambao walikuwa wakiishi pamoja
Siku zilivyozidi Kwenda mke akawa anapenda kucheat Lakini mme alivyokuwa anaambiwa akawa anapotezea Na mke akawa anamdanganya mmewe Lakini siku moja mme akataka kufanya suprise kwa mkewe
Siku hiyo aliaga anasafiri Na sivyo ndivyo alienda gesti mida ya saa sita usiku akarudi nyumbani Na kukuta kufuli nyumbani kwake akaenda hadi chumba anacholala yeye Na kubisha hodi dirishan Lakini hakujibiwa akagonga wanapolala watoto Na watoto wakaamka Na kumkuta baba yao mlangoni Na wakamuuliza baba mama yupo wapi?baba akawadanganya kwa kuwaambia kuna sehemu ameenda mida ya saa Saba mama akawa analetwa njiani Karibu Na nyumba akaona mlangoni kuna mtu amesimama
Je unataka kujua nn kiliendelea
Fatilia kisa HIKI baaada ya siku tatu
Asanteni wote wasomaji wangu
Kwa Kukutangazia biashara yako usiache kunitafuta kupitia simu namba 0743822347
Au kilingadeodatus5@gmail.com
Thanks so much
Contact me
Kulikuwa Na familia moja ya mke,mme Na watoto wawili ambao walikuwa wakiishi pamoja
Siku zilivyozidi Kwenda mke akawa anapenda kucheat Lakini mme alivyokuwa anaambiwa akawa anapotezea Na mke akawa anamdanganya mmewe Lakini siku moja mme akataka kufanya suprise kwa mkewe
Siku hiyo aliaga anasafiri Na sivyo ndivyo alienda gesti mida ya saa sita usiku akarudi nyumbani Na kukuta kufuli nyumbani kwake akaenda hadi chumba anacholala yeye Na kubisha hodi dirishan Lakini hakujibiwa akagonga wanapolala watoto Na watoto wakaamka Na kumkuta baba yao mlangoni Na wakamuuliza baba mama yupo wapi?baba akawadanganya kwa kuwaambia kuna sehemu ameenda mida ya saa Saba mama akawa analetwa njiani Karibu Na nyumba akaona mlangoni kuna mtu amesimama
Je unataka kujua nn kiliendelea
Fatilia kisa HIKI baaada ya siku tatu
Asanteni wote wasomaji wangu
Kwa Kukutangazia biashara yako usiache kunitafuta kupitia simu namba 0743822347
Au kilingadeodatus5@gmail.com
Thanks so much
Contact me
NAFASI ZA KAZI JIAJIRI
Karibu kwenye blog yangu ya Deodatus media inapenda kukutangazia wewe kijana mahali popote ulipo kuwa
Kama unataka Kufanya matangazo yoyote kwa bei nafuu
Iwe ni biashara au NAFASI Za ajira tangaza nami kwa bei nafuuu kwa kupitia gmail account ambayo ni
Kilingadeodatus5@gmail.com
Au kwa simu namba 0743822347
Na tutafanya kazi pamoja
Aksante
Kama unataka Kufanya matangazo yoyote kwa bei nafuu
Iwe ni biashara au NAFASI Za ajira tangaza nami kwa bei nafuuu kwa kupitia gmail account ambayo ni
Kilingadeodatus5@gmail.com
Au kwa simu namba 0743822347
Na tutafanya kazi pamoja
Aksante
Jumatatu, 19 Machi 2018
KULALA NA NGUO ZA NDANI NI CHANZO CHA UGUMBA?
Magazeti mengi yalieleza kwamba kulala Na nguo Za NDANI ni chanzo cha ugumba (je kweli?)kuhusu jambo hili
Fatilia makala HII hadi Mwisho tukueleze
Kwanzaa kwa upande wa mwanamke jambo hili haliwezi sababisha ugumba kwa mujibu wa madaktari wengi wanasema Kwamba kutokana Na viungo vya uzazi wa mwanamke vipo ndani haviwezi leta madhara yoyote ila kwa upande wa mwanaume tatizo hili linaweza kutokea kwa kuvaaa nguo Za kubana kutokana Na viungo vya uzazi wa mwanaume vipo nje Hali hii inaweza kutokea kutokana Na kuvaa nguo Za kubana Sana wakati wa usiku vilevile kuvaa nguo Za mpira
Kuna mambo yanaweza kusababisha ugumba Kama vile magonjwa ya ngono pia makovu yatokanayo Na upasuaji vilevile magonjwa ya muda mrefu
Asante kwa kufatilia makala yetu kwa kupata habari nyingi zaidi
Fatilia makala HII hadi Mwisho tukueleze
Kwanzaa kwa upande wa mwanamke jambo hili haliwezi sababisha ugumba kwa mujibu wa madaktari wengi wanasema Kwamba kutokana Na viungo vya uzazi wa mwanamke vipo ndani haviwezi leta madhara yoyote ila kwa upande wa mwanaume tatizo hili linaweza kutokea kwa kuvaaa nguo Za kubana kutokana Na viungo vya uzazi wa mwanaume vipo nje Hali hii inaweza kutokea kutokana Na kuvaa nguo Za kubana Sana wakati wa usiku vilevile kuvaa nguo Za mpira
Kuna mambo yanaweza kusababisha ugumba Kama vile magonjwa ya ngono pia makovu yatokanayo Na upasuaji vilevile magonjwa ya muda mrefu
Jumapili, 18 Machi 2018
JIFUNZENAMNA HII BORA NA NZURI ZA MAPISHI
- Karibu msomaji wetu kwenye kipindi hichi Na sehemu HII nzuri
Tunajifunza vitu MBALIMBALI Ila leo ningependa
Nikufundishe namna nzuri ya mapishi
Mapishi hayo ni Yapi fuatilia
Jinsi ya kupika chapati
Za maziwa pamoja Na blue band
MAHITAJI
Unga nusu kilo 1/2
Maziwa kikombe cha chai
Chumvi kijiko kidogo cha chai
Sukari kidogo
Blue band robo kilo 1/4
UTAYARISHAJI
Changanya unga pamoja Na chumvi vizuri
Kisha weka sukari Na Changanya tena kisha
Maziwa Na uukande kwa dakika tano Kisha blueband na
Ukande tena kwa muda wa dakika kumi Na tano(15)
Hadi mchanganyiko wako ukae Sawa kisha
Kata vipande unavyo taka Na uweke kwenye kibao usigine hadi
Utakapopata umbo la duara Kisha weka mafuta kidogo kwenye flampeni
Fanya hivo hadi zote ziishe kisha weka mezani Tayari kwa kuliwa
Na kitu Chochote UNACHOTAKA
Mapishi ya maandazi
- MAHITAJI
- UNGA KILO MOJA
- sukari kikombe cha chai
- Mafuta nusu Lita
- Maziwa nusu kikombe cha chai
- Hamira kijiko cha chakula
- Baking powder nusu kijiko cha chakula
- Maji ya uvuguvugu
- MAHITAJI
- Jinsi ya kuandaaa
- Changanya UNGA hamira zote pamoja Na sukari hadi vicha
- Nganikane vizuri kisha weka mafuta kidogo na weka maji kanda
- Kwa muda wa nusu saa hadi mchanganyiko ukae vizuri
- Kisha Acha uumuke kwa nusu saa
- Kisha toa Na Katavipande
- Unavyotaka huku
Ukiwa umeweka mafuta kwenye kikaango
- Na kisha choma Na Tayari kwa matumizi
Mapishi ya maandazi
Ukiwa umeweka mafuta kwenye kikaango
Karibu kwenye blog ya DEODATUS MEDIA
Karibu sana kwenye blog ya Deodatus Media. Hii ni blog yako ya kukupa habari za kweli na uhakika. Tunakuahidi blog hii kuwa blog ya kwanza Tanzania kwa kutoa huduma nzuri za habari, mafunzo mbali mbali ya kukufundisha kuhusiana na maisha n.k.
Ukiwa na Tangazo unataka tukutangazie kwenye blog hii ni bei ndogo sana wasiliana nasi kwa haraka kupitia email hii deodatuskilinga5@gmail.com utajibiwa kwa haraka sana. Unachotakiwa ni kuelezea nini unataka kutangaza mfano kutangaza biashara, Huduma au kutangaza blog au website ili ijulikane na watu wengi zaidi.
Vitu vizuri share na marafiki. Watumie marafiki anwani ya blog hii ambayo ni deodatus media.blogspot.com watumie kwenye magroup ya whatsapp facebook na kwingineko ili nao waje kufaidika na habari zinazoandikwa kwenye blog hii ya kwanza kwa kutoa habari za kweli. Ukiwa na maoni comment hapa chini. Karibu sana.
Ukiwa na Tangazo unataka tukutangazie kwenye blog hii ni bei ndogo sana wasiliana nasi kwa haraka kupitia email hii deodatuskilinga5@gmail.com utajibiwa kwa haraka sana. Unachotakiwa ni kuelezea nini unataka kutangaza mfano kutangaza biashara, Huduma au kutangaza blog au website ili ijulikane na watu wengi zaidi.
Vitu vizuri share na marafiki. Watumie marafiki anwani ya blog hii ambayo ni deodatus media.blogspot.com watumie kwenye magroup ya whatsapp facebook na kwingineko ili nao waje kufaidika na habari zinazoandikwa kwenye blog hii ya kwanza kwa kutoa habari za kweli. Ukiwa na maoni comment hapa chini. Karibu sana.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
