Jumapili, 18 Machi 2018

JIFUNZENAMNA HII BORA NA NZURI ZA MAPISHI

  1. Karibu msomaji wetu kwenye kipindi hichi Na sehemu HII nzuri Tunajifunza vitu MBALIMBALI Ila leo ningependa Nikufundishe namna nzuri ya mapishi Mapishi hayo ni Yapi fuatilia Jinsi ya kupika chapati Za maziwa pamoja Na blue band MAHITAJI Unga nusu kilo 1/2 Maziwa kikombe cha chai Chumvi kijiko kidogo cha chai Sukari kidogo Blue band robo kilo 1/4 UTAYARISHAJI Changanya unga pamoja Na chumvi vizuri Kisha weka sukari Na Changanya tena kisha Maziwa Na uukande kwa dakika tano Kisha blueband na Ukande tena kwa muda wa dakika kumi Na tano(15) Hadi mchanganyiko wako ukae Sawa kisha Kata vipande unavyo taka Na uweke kwenye kibao usigine hadi Utakapopata umbo la duara Kisha weka mafuta kidogo kwenye flampeni Fanya hivo hadi zote ziishe kisha weka mezani Tayari kwa kuliwa Na kitu Chochote UNACHOTAKA
    Mapishi ya maandazi
  2. MAHITAJI 
  3. UNGA KILO MOJA
  4. sukari kikombe cha chai 
  5. Mafuta nusu Lita 
  6. Maziwa nusu kikombe cha chai 
  7. Hamira kijiko cha chakula
  8. Baking powder nusu kijiko cha chakula
  9. Maji ya uvuguvugu
  10. MAHITAJI 

  11. Jinsi ya kuandaaa
  12. Changanya UNGA hamira zote pamoja Na sukari hadi vicha
  13. Nganikane vizuri kisha weka mafuta kidogo na weka maji kanda
  14. Kwa muda wa nusu saa hadi mchanganyiko ukae vizuri
  15. Kisha Acha uumuke kwa nusu saa 
  16. Kisha toa Na Katavipande
  17. Unavyotaka huku

    Ukiwa umeweka mafuta kwenye kikaango
  18. Na kisha choma Na Tayari kwa matumizi










Hakuna maoni:

Chapisha Maoni